Książka Utatu Mtakatifu Shannel S Silwimba

Utatu Mtakatifu

Język: Suahili
Oprawa: Miękka
Dostępność: Dostępna u dostawcy
Wysyłamy za 14-21 dni
63.17
Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndan...

Informacje o książce

Język
Suahili
Oprawa
Książka - Miękka
Data wydania
2023
strony
144
EAN
9798215835401
Enbook ID
42919548
Waga
191
Wymiary
140 x 216 x 8

Pełny opis

Kitabu hiki MNNNMA ni kiberiti kinacho washa moto wa mabadaliko makubwa, na kama siyo mapinduzi ndani ya kanisa lote linalo zungumza Kiswahili. Katika hiki tunaona mtizamo mpya wa theolojia, changamoto katika tafsiri za biblia ndani ya lugha ya Kiswahili, na jipya zaidi ni uhamisho wa waumini toka udini kuelekea mahusiano na Mungu YHWH.

Kitabu kinachukulia biblia yote kuwa fumbo la picha, na hivyo kutumia mstari wa wakati uendao mbele katika mduara, kuonyesha mwanzo hadi mwisho wa kila kitu. Na kama hili halitoshi, kinaweka dai tatanishi kwamba, biblia yote iliandikwa kwa ajili ya ukombozi wa Adonai Yeshua Kristo, na kwamba yote humo pamoja na maisha yako yote, ni kwa ajili ya Mungu YHWH kuwa na familia yake tu.

Kitabu kinacho dai tete la kuifunua kweli iliyo moja na ya pekee mahali pote, wakati wote, na kwa vizazi vyote. Na katika kunogesha uelewa; kinapinga mafundisho yaliyo zoeleka kwamba, mtu ataishi Mbinguni na Mungu milele, kwa kudai maandiko yote yanasema, ni Mungu YHWH anaye hamia katika Dunia mpya ndani ya Yerushalem Mpya kuishi humo milele na watoto wake watakatifu.

Kitabu kinajikita katika malumbano ya kidini na sayansi, na kuitumia teknolojia ya sasa kuelezea dhana nyingi za kiimani. Na kwa kila funzo la kinadharia unalo pewa, pia huonyeshwa jinsi ya kutenda hilo uhesabiwe mstahiki wa ahadi hiyo ya Mungu. Na katika ujasiri mkuu kinaweka dai ya kuwa, hicho ni ujumbe halisi wa Mungu YHWH kwa kanisa lake tukufu linalo zungumza Kiswahili.

Ni kitabu ambacho kila anayefunza dini hawezi kukikosa, na kwa kila mtu anaye taka kujua kweli ya mambo ya kiungu, hiki ni kitabu muhimu zaidi sokoni kwa sasa. Tunakiona kutawala malumbano katika kumbi za mihadhara, mimbari za masinagogi, na hata madarasani kufunzwapo dini. Ni kitabu ambacho kitafungua jicho la kila muumini, kwani katika lugha ya Kiswahili hakipo kinacho zama katika kina chake hiki. Kwa kweli uhamsho wa kanisa linalo zungumza Kiswahili sasa umefika wakati wake!

Możesz być zainteresowany

834.10

Truth About Marriage

James Jr. Hairston
57.07
22.13

Hospice

Gregory Howard
78.52

Apostrophe Catastrophe

Patrick C. Notchtree
40.53

A Short Stay in Hell

Steven L. Peck
55.98

Zukunft Medizintechnik

Wolfgang Niederlag
331.82

Klienci, którzy kupili tę książkę, kupili również

Emma Watson

ANNA DOHERTY
31.78
61.69

Digital Hate

Iginio Gagliardone
91.51

Winter Spirits

Bridget Collins
80.39
38.17

AutoCAD 2025

ASCENT - Center for Technical Knowledge
304.86

Les prénoms

Morisseau
110.41
128.61
118.18
522.84
106.96

Filmfonds und neue Filmfinanzierungskonzepte

Curd-Georg von Nostitz-Wallwitz
148.59

Falkenspur

Bernd Köstering
45.36

Truman

David McCullough
75.27